Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waroma 8:6-8

Waroma 8:6-8 BHN

Fikira za mwili huleta kifo; fikira za Roho huleta uhai na amani. Maana, mwenye kutawaliwa na fikira za mwili ni adui wa Mungu; haitii sheria ya Mungu, wala hawezi kuitii. Watu wanaotii matakwa ya mwili hawawezi kumpendeza Mungu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Waroma 8:6-8