Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zekaria 11:1-3

Zekaria 11:1-3 SRUV

Ifungue milango yako, Ee Lebanoni, Ili moto uiteketeze mierezi yako. Piga yowe, msonobari, maana mwerezi umeanguka, Kwa sababu miti iliyo mizuri imeharibika; Pigeni yowe, enyi mialoni ya Bashani, Kwa maana msitu wenye nguvu umeangamia. Sikiza, maombolezo ya wachungaji, Kwa maana utukufu wao umeharibiwa; Sikiza, ngurumo za simba, Kwa maana vichaka vya Yordani vimeharibiwa!

Soma Zekaria 11