Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 2:8-9

Luka 2:8-9 TKU

Usiku ule, baadhi ya wachungaji walikuwa mashambani nje ya mji wa Bethlehemu wakilinda kondoo zao. Malaika wa Bwana akawatokea ghafla, na utukufu wa Bwana ukaangaza kuwazunguka, wakaogopa sana.

Soma Luka 2