2 Mose 4:11-12
2 Mose 4:11-12 SRB37
Naye Bwana akamwambia: Aliyempa mtu kinywa ni nani? Au ni nani anayemweka mtu kuwa bubu au kiziwi au mwenye macho au kipofu? Si mimi Bwana? Sasa nenda! Nami nitakuwa na kinywa chako, nikufundishe utakayoyasema.
Naye Bwana akamwambia: Aliyempa mtu kinywa ni nani? Au ni nani anayemweka mtu kuwa bubu au kiziwi au mwenye macho au kipofu? Si mimi Bwana? Sasa nenda! Nami nitakuwa na kinywa chako, nikufundishe utakayoyasema.