Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Timotheo 1:9-10

1 Timotheo 1:9-10 BHN

Lakini tunapaswa kukumbuka kwamba sheria haziwekwi kwa ajili ya watu wema, bali kwa ajili ya wahalifu na wasiotii, wasiomcha Mungu na wenye dhambi, watu wasio na dini na wa kidunia, watu wanaowaua baba na mama zao, au wauaji wowote wale; sheria imewekwa kwa ajili ya waasherati, wafiraji, wezi wa watu, waongo na wanaoapa uongo au wanaofanya chochote ambacho ni kinyume cha mafundisho sahihi.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Timotheo 1:9-10