Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Mambo ya Nyakati 19:7

2 Mambo ya Nyakati 19:7 BHN

Basi, sasa mwogopeni Mwenyezi-Mungu, muwe waangalifu katika kila jambo mtakalotenda kwa sababu Mwenyezi-Mungu wetu hatavumilia upotoshaji wa haki, wala upendeleo wala ulaji rushwa.”