Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Mambo ya Nyakati 26:16

2 Mambo ya Nyakati 26:16 BHN

Wakati mfalme Uzia alipokuwa na nguvu, alijaa kiburi ambacho kilisababisha maangamizi yake. Alimwasi Mwenyezi-Mungu, Mungu wake kwa kuingia hekaluni akikusudia kufukiza ubani madhabahuni.