Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Wafalme 2:12

2 Wafalme 2:12 BHN

Elisha alipoona tukio hilo akalia, “Baba yangu, baba yangu! Gari la Israeli na wapandafarasi wake!” Basi, Elisha hakumwona tena Elia. Ndipo Elisha alipoyashika mavazi yake na kuyararua vipande viwili.