Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Timotheo 3:16-17

2 Timotheo 3:16-17 BHN

Maandiko yote Matakatifu yameandikwa kwa uongozi wa Mungu, na yanafaa katika kufundishia ukweli, kuonya, kusahihisha makosa, na kuwaongoza watu waishi maisha adili, ili mtu wa Mungu awe mkamilifu, na tayari kabisa kufanya kila kazi njema.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 2 Timotheo 3:16-17