Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 1:4-5

Matendo 1:4-5 BHN

Wakati alipokutana pamoja nao aliwaamuru hivi: “Msiondoke Yerusalemu, bali ngojeni ile zawadi aliyoahidi Baba, ambayo mlikwisha nisikia nikiongea juu yake. Kwani Yohane alibatiza kwa maji, lakini baada ya siku chache, nyinyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 1:4-5