Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 19:11-12

Matendo 19:11-12 BHN

Mungu alifanya miujiza ya ajabu kwa mikono ya Paulo. Watu walikuwa wakichukua leso na nguo nyingine za kazi ambazo Paulo alikuwa amezitumia, wakazipeleka kwa wagonjwa, nao wakaponywa magonjwa yao; na wale waliokuwa na pepo wabaya wakatokwa na pepo hao.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Matendo 19:11-12