Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kumbukumbu la Sheria 2:7

Kumbukumbu la Sheria 2:7 BHN

“Basi, kumbukeni jinsi Mwenyezi-Mungu Mungu wenu alivyowabariki katika kila jambo mlilofanya. Aliwatunza mlipokuwa mnatangatanga katika jangwa hili kubwa. Amekuwa pamoja nanyi miaka hii yote arubaini na hamkupungukiwa kitu chochote.