Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 12:1-2

Mhubiri 12:1-2 BHN

Umkumbuke Muumba wako siku za ujana wako, kabla hazijaja siku na miaka ambapo utasema: “Sifurahii tena vitu hivyo!” Umkumbuke kabla ya wakati ambapo kwako mwanga wa jua utafifia; mwezi na nyota haviangazi tena, nayo mawingu yametanda tena baada ya mvua.

Soma Mhubiri 12