Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 12:13-14

Mhubiri 12:13-14 BHN

Baada ya hayo yote yaliyokwisha semwa bado kuna hili linalotakiwa: Mche Mungu, na uzishike amri zake; kwa sababu hilo ndilo jukumu aliloumbiwa binadamu. Maana, Mungu atahukumu matendo yetu yote, hata yale yanayotendwa kwa siri, yawe mema au mabaya.

Soma Mhubiri 12

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mhubiri 12:13-14