Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 2:24-25

Mhubiri 2:24-25 BHN

Hakuna chema kimfaacho binadamu, isipokuwa kula na kunywa na kuifurahia kazi yake. Hili nalo nimeliona kuwa latoka kwa Mungu, maana usipojaliwa na Mungu, huwezi kupata chakula wala kujifurahisha.

Soma Mhubiri 2