Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 6:2

Mhubiri 6:2 BHN

Mungu humjalia mtu utajiri, mali na heshima, asitindikiwe kitu chochote anachotamani, lakini hampi uwezo wa kuvifurahia vitu hivyo; badala yake, mgeni fulani atavifaidi. Hilo nalo ni bure kabisa; ni jambo la mateso makali.

Soma Mhubiri 6