Kutoka 39:42-43
Kutoka 39:42-43 BHN
Waisraeli walifanya kila kitu kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru Mose. Mose alikagua kila kitu, akaridhika kwamba walikuwa wamefanya kila kitu kama Mwenyezi-Mungu alivyoamuru. Hivyo Mose akawabariki.
Waisraeli walifanya kila kitu kama Mwenyezi-Mungu alivyomwamuru Mose. Mose alikagua kila kitu, akaridhika kwamba walikuwa wamefanya kila kitu kama Mwenyezi-Mungu alivyoamuru. Hivyo Mose akawabariki.