Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 23:16

Yeremia 23:16 BHN

Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema hivi: “Msisikilize maneno ya manabii wanaowatabiria; wanawapeni matumaini ya uongo. Wanayowaambia ni maono yao wenyewe, wala hayakutoka kwangu mimi Mwenyezi-Mungu.

Soma Yeremia 23