Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yona 4:10-11

Yona 4:10-11 BHN

Hapo Mungu akamwambia, “Mmea huu uliota na kukua kwa usiku mmoja, na usiku uliofuata ukanyauka. Wewe hukuufanyia kitu chochote, wala hukuuotesha. Mbona unauhurumia? Je, haifai kwangu kuuhurumia mji wa Ninewi, ule mji mkuu wenye watu 120,000, wasioweza kupambanua jema na baya, na pia wanyama wengi?”

Soma Yona 4

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Yona 4:10-11