Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 14:13-14

Luka 14:13-14 BHN

Badala yake, unapofanya karamu, waalike maskini, vilema, viwete na vipofu, nawe utakuwa umepata baraka, kwa kuwa hao hawana cha kukulipa. Maana Mungu atakupa tuzo lako wakati watu wema watakapofufuka.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Luka 14:13-14