Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 22:19-21

Mathayo 22:19-21 BHN

Nionesheni fedha ya kulipia kodi.” Nao wakamtolea sarafu ya fedha. Basi, Yesu akawauliza, “Sura na chapa hii ni ya nani?” Wakamjibu, “Ni ya Kaisari.” Hapo Yesu akawaambia, “Basi, ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 22:19-21