Mathayo 4:1-2
Mathayo 4:1-2 BHN
Kisha Roho alimwongoza Yesu mpaka jangwani ili ajaribiwe na Ibilisi. Akafunga siku arubaini mchana na usiku, na mwishowe akaona njaa.
Kisha Roho alimwongoza Yesu mpaka jangwani ili ajaribiwe na Ibilisi. Akafunga siku arubaini mchana na usiku, na mwishowe akaona njaa.