Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 9:37-38

Mathayo 9:37-38 BHN

Hapo akawaambia wanafunzi wake, “Mavuno ni mengi, lakini wafanyakazi ni wachache. Basi mwombeni mwenye mavuno atume wafanyakazi wavune mavuno yake.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 9:37-38