Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 8:37-38

Marko 8:37-38 BHN

Ama mtu atatoa kitu gani badala ya maisha yake? Mtu yeyote katika kizazi hiki kiovu na kisicho na uaminifu kwa Mungu, anayenionea aibu mimi na mafundisho yangu, Mwana wa Mtu atamwonea aibu mtu huyo, wakati atakapokuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu.”

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Marko 8:37-38