Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Hesabu 35:25

Hesabu 35:25 BHN

Jumuiya itamwokoa mtu huyo aliyeua mikononi mwa jamaa ya mtu aliyeuawa, na kumrudisha katika mji wa makimbilio alimokuwa amekimbilia. Atakaa huko mpaka kifo cha kuhani mkuu wa wakati huo aliyeteuliwa kwa kupakwa mafuta matakatifu.

Soma Hesabu 35