Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 107:8-9

Zaburi 107:8-9 BHN

Mshukuruni Mwenyezi-Mungu kwa fadhili zake; kwa sababu ya maajabu aliyowatendea binadamu. Yeye huwatosheleza walio na kiu; na wenye njaa huwashibisha mema.

Soma Zaburi 107