Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 17:6-7

Zaburi 17:6-7 BHN

Nakuita, ee Mungu, kwani wewe wanijibu; unitegee sikio, uyasikie maneno yangu. Onesha fadhili zako za ajabu, uwaokoe kutoka kwa adui zao, wale wanaokimbilia usalama kwako.

Soma Zaburi 17

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Zaburi 17:6-7