Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Ufunuo 7:17

Ufunuo 7:17 BHN

kwa sababu Mwanakondoo aliye katikati ya kiti cha enzi atakuwa mchungaji wao, naye atawaongoza kwenye chemchemi za maji ya uhai. Naye Mungu atayafuta machozi yote machoni mwao.”