Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zekaria 11:1-3

Zekaria 11:1-3 BHN

Fungua milango yako, ewe Lebanoni ili moto uiteketeze mierezi yako! Ombolezeni, enyi misunobari, kwa kuwa mierezi imeteketea. Miti hiyo mitukufu imeharibiwa! Enyi mialoni ya Bashani, ombolezeni, kwa kuwa msitu mnene umekatwa! Sikia maombolezo ya watawala! Fahari yao imeharibiwa! Sikia ngurumo za simba! Pori la mto Yordani limeharibiwa!

Soma Zekaria 11