Zaburi 66:20
Zaburi 66:20 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Na ahimidiwe Mungu asiyeyakataa maombi yangu, Wala kuniondolea fadhili zake.
Shirikisha
Soma Zaburi 66Zaburi 66:20 Biblia Habari Njema (BHN)
Asifiwe Mungu, maana hakuikataa sala yangu, wala kuondoa fadhili zake kwangu.
Shirikisha
Soma Zaburi 66