Soma Biblia Kila Siku 2Mfano
![Soma Biblia Kila Siku 2](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapistaging.com%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fyvplans-staging%2F14087%2F1280x720.jpg&w=3840&q=75)
Mungu alikusudia kuokoa, kwa sababu Waisraeli ni watu wake(soma m.7 na 10). Waisraeli ni watu wa Mungu kwa sababu ya neema ya Mungu. Vilevile na sisi Wakristo: Tumeokolewa kwa sababu ya ukombozi wa Yesu Kristo kutokana na ahadi ya Mungu wala si kwa sababu ya matendo yetu. Musa alipata wito wa kuwatoa watu wa Mungu watoke katika Misri (m.10). Kupata wito pia ni neema ya Mungu. Jina la Mungu ni "MIMI NIKO". Hata Yesu Kristo, Mwana wa Mungu, alijiita hivyo. Soma Yohana 8:58.
Andiko
Kuhusu Mpango huu
![Soma Biblia Kila Siku 2](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fimageproxy.youversionapistaging.com%2Fhttps%3A%2F%2Fs3.amazonaws.com%2Fyvplans-staging%2F14087%2F1280x720.jpg&w=3840&q=75)
Soma Biblia Kila Siku 2 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Kitabu cha Kutoka na Injili ya Yohana, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.
More
Tungependa kushukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz