1
Lk 18:1
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Akawaambia mfano, ya kwamba imewapasa kumwomba Mungu sikuzote, wala wasikate tamaa.
సరిపోల్చండి
Lk 18:1 ని అన్వేషించండి
2
Lk 18:7-8
Na Mungu, je! Hatawapatia haki wateule wake wanaomlilia mchana na usiku, naye ni mvumilivu kwao? Nawaambia, atawapatia haki upesi; walakini, atakapokuja Mwana wa Adamu, je! Ataiona imani duniani?
Lk 18:7-8 ని అన్వేషించండి
3
Lk 18:27
Akasema, Yasiyowezekana kwa wanadamu yawezekana kwa Mungu.
Lk 18:27 ని అన్వేషించండి
4
Lk 18:4-5
Naye kwa muda alikataa; halafu akasema moyoni mwake, Ijapokuwa simchi Mungu wala sijali watu, lakini, kwa kuwa mjane huyu ananiudhi, nitampatia haki yake, asije akanichosha kwa kunijia daima.
Lk 18:4-5 ని అన్వేషించండి
5
Lk 18:17
Amin, nawaambia, Mtu ye yote asiyeupokea ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo hauingii kamwe.
Lk 18:17 ని అన్వేషించండి
6
Lk 18:16
Bali Yesu akawaita waje kwake, akasema, Waacheni watoto wadogo waje kwangu, wala msiwazuie, kwa kuwa watu kama hao ufalme wa Mungu ni wao.
Lk 18:16 ని అన్వేషించండి
7
Lk 18:42
Yesu akamwambia, Upewe kuona; imani yako imekuponya.
Lk 18:42 ని అన్వేషించండి
8
Lk 18:19
Yesu akamwambia, Mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja, naye ndiye Mungu.
Lk 18:19 ని అన్వేషించండి
హోమ్
బైబిల్
ప్రణాళికలు
వీడియోలు