1
Luka 23:34
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
Halafu Yesu akasema: “Baba uwasamehe, kwa maana hawajui jambo wanalofanya.” Waaskari wakagawanya nguo zake kwa kuzipigia kura.
Ṣe Àfiwé
Ṣàwárí Luka 23:34
2
Luka 23:43
Yesu akamujibu: “Kweli ninakuambia wewe: leo hii utakuwa pamoja nami katika Paradizo.”
Ṣàwárí Luka 23:43
3
Luka 23:42
Na akaongeza kusema: “Ee Yesu, usinisahau wakati utakapokuja katika ufalme wako!”
Ṣàwárí Luka 23:42
4
Luka 23:46
Yesu akalalamika kwa sauti kubwa akisema: “Baba, ninatoa uzima wangu kwako.” Kisha kusema maneno haya, akakata roho.
Ṣàwárí Luka 23:46
5
Luka 23:33
Walipowafikisha kwenye pahali palipoitwa “Kilima cha Mufupa wa Kichwa,” wakamutundika Yesu juu ya musalaba. Vilevile walitundika wale watenda maovu, mumoja kwa upande wa kuume wa Yesu na mwingine kwa upande wa kushoto.
Ṣàwárí Luka 23:33
6
Luka 23:44-45-44-45
Ilikuwa karibu na saa sita ya muchana, jua likafifia, kukakuwa giza katika inchi yote mpaka saa tisa. Pazia la hekalu likapasuka katikati.
Ṣàwárí Luka 23:44-45-44-45
7
Luka 23:47
Mukubwa wa waaskari alipoona mambo yale yaliyotokea, akamusifu Mungu, akisema: “Hakika mutu huyu alikuwa mwenye haki!”
Ṣàwárí Luka 23:47
Ilé
Bíbélì
Àwon ètò
Àwon Fídíò