1
Luka 13:24
Swahili Roehl Bible 1937
Gombeeni, mpate kuuingia mlango ulio mfinyu! Nawaambiani: Wengi watataka kuuingia, lakini hawataweza.
Ṣe Àfiwé
Ṣàwárí Luka 13:24
2
Luka 13:11-12
Mle nyumbani mkawa na mwanamke mwenye pepo aliyemwuguza miaka 18; kwa hiyo alikuwa amepindana, asiweze kunyoka kamwe. Yesu alipomwona akamwita, akamwambia: Mama, umefunguliwa huu unyonge wako
Ṣàwárí Luka 13:11-12
3
Luka 13:13
Kisha akambandikia mikono yake. Papo hapo akanyoka, akamtukuza Mungu.
Ṣàwárí Luka 13:13
4
Luka 13:30
Tazameni, wako wa mwisho watakaokuwa wa kwanza, tena wako wa kwanza watakaokuwa wa mwisho.
Ṣàwárí Luka 13:30
5
Luka 13:25
Tangu hapo, mwenye nyumba atakapoinuka na kuufunga mlango, ndipo, mtakapoanza kusimama nje na kuugonga mlango mkisema: Bwana, Bwana, tufungulie! Naye atajibu akiwaambia: Siwajui ninyi, mtokako.
Ṣàwárí Luka 13:25
6
Luka 13:5
Nawaambiani: Sivyo, ila msipojuta nyote mtaangamia vivyo hivyo.
Ṣàwárí Luka 13:5
7
Luka 13:27
Ndipo, atakapowaambia ninyi: Siwajui, mtokako, ondokeni kwangu nyote mfanyao mapotovu!
Ṣàwárí Luka 13:27
8
Luka 13:18-19
Kisha akasema: Ufalme wa Mungu umefanana na nini? Niufananishe na nini? Umefanana na kipunje cha haradali, alichokitwaa mtu na kukitupia shambani kwake. Nacho hukua na kupata kuwa mti, hata ndege wa angani hutua katika matawi yake.
Ṣàwárí Luka 13:18-19
Ilé
Bíbélì
Àwon ètò
Àwon Fídíò