1
Luka MT. 13:24
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
Akawaambia, Jitahidini kuingia katika mlango ulio mwembamba; kwa maana nawaambieni ya kwamba watu wengi watatafuta kuingia nao bawataweza.
مقایسه
Luka MT. 13:24 را جستجو کنید
2
Luka MT. 13:11-12
Na tazama, palikuwa na mwanamke aliyekuwa na pepo wa udhaifu miaka kumi na minane: nae amepindana, asiweze kujiinua kabisa. Bassi Yesu alipomwona, akamwita, akamwambia, Ee mwanamke, umefunguliwa udhaifu wako.
Luka MT. 13:11-12 را جستجو کنید
3
Luka MT. 13:13
Akaweka mikono yake juu yake, akanyoka marra hiyo, akaanza kumtukuza Mungu.
Luka MT. 13:13 را جستجو کنید
4
Luka MT. 13:30
Kafahamuni, wako wa mwisho watakaokuwa wa kwanza, na wako wa kwanza watakaokuwa wa mwisho.
Luka MT. 13:30 را جستجو کنید
5
Luka MT. 13:25
Tokea wakati ule atakapoondoka mwenye nyumba na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkinena, Bwana, Bwana! utufungulie; nae akajibu, akawaambieni, Siwajui mtokako
Luka MT. 13:25 را جستجو کنید
6
Luka MT. 13:5
Nawaanibieni, Sivyo: lakini msipotubu, nyote mtaangamia vivyo hivyo.
Luka MT. 13:5 را جستجو کنید
7
Luka MT. 13:27
nae atasema, Nawaambieni, Siwajui mtokako: ondokeni mbali nami, ninyi nyote mlio wafanyaji wa udhalimu.
Luka MT. 13:27 را جستجو کنید
8
Luka MT. 13:18-19
Bassi, akasema, Ufalme wa Mungu umefanana na nini? Na niufananishe na nini? Umefanana na punje ya kharadali, aliyotwaa mtu akaitupa katika shamba lake, ikakua, ikawa mti mkubwa, ndege za anga wakatua katika matawi yake.
Luka MT. 13:18-19 را جستجو کنید
خانه
كتابمقدس
برنامههای مطالعه
ویدیوها