1
Luka 20:25
BIBLIA Yenye Vitabu vya Deuterokanoni HABARI NJEMA
Nao wakamjibu, “Ni ya Kaisari.” Yesu akawaambia, “Basi, ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu.”
Lee anya n'etiti ihe abụọ
Nyochaa Luka 20:25
2
Luka 20:17
Lakini Yesu akawatazama, akawaambia, “Maandiko haya Matakatifu yana maana gani, basi? ‘Jiwe walilokataa waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi!’
Nyochaa Luka 20:17
3
Luka 20:46-47
“Jihadharini na waalimu wa sheria ambao hupenda kupitapita wamevalia kanzu. Hupenda kusalimiwa na watu kwa heshima masokoni, huketi mahali pa heshima katika masunagogi na kuchukua nafasi za heshima katika karamu. Huwadhulumu wajane huku wakisingizia kuwa wema kwa kusali sala ndefu. Hao watapata hukumu kali zaidi!”
Nyochaa Luka 20:46-47
Ulo
Akwụkwọ Nsọ
Atụmatụ
Vidiyo