1
1 Wakorintho 2:9
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Lakini ni kama ilivyoandikwa: “Hakuna jicho limepata kuona, wala sikio limepata kusikia, wala hayakuingia moyoni mwa mwanadamu yeyote, mambo ambayo Mungu amewaandalia wale wanaompenda”
Linganisha
Chunguza 1 Wakorintho 2:9
2
1 Wakorintho 2:14
Mtu ambaye hana Roho hawezi kupokea mambo yanayotoka kwa Roho wa Mungu, kwa kuwa ni upuzi kwake, naye hawezi kuyaelewa kwa sababu hayo yanaeleweka tu kwa upambanuzi wa rohoni.
Chunguza 1 Wakorintho 2:14
3
1 Wakorintho 2:10
Lakini mambo haya Mungu ametufunulia kwa Roho wake. Roho huchunguza kila kitu, hata mambo ya ndani sana ya Mungu.
Chunguza 1 Wakorintho 2:10
4
1 Wakorintho 2:12
Basi hatukupokea roho ya dunia bali Roho atokaye kwa Mungu, ili tuweze kuelewa kile kipawa ambacho Mungu ametupatia bure.
Chunguza 1 Wakorintho 2:12
5
1 Wakorintho 2:4-5
Kuhubiri kwangu na ujumbe wangu haukuwa kwa hekima na maneno ya ushawishi, bali kwa madhihirisho ya nguvu za Roho wa Mungu, ili imani yenu isiwe imejengwa katika hekima ya wanadamu bali katika nguvu za Mungu.
Chunguza 1 Wakorintho 2:4-5
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video