1
1 Wakorintho 1:27
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Lakini Mungu alivichagua vitu vipumbavu vya ulimwengu ili awaaibishe wenye hekima; Mungu alivichagua vitu dhaifu vya ulimwengu ili awaaibishe wenye nguvu.
Linganisha
Chunguza 1 Wakorintho 1:27
2
1 Wakorintho 1:18
Kwa maana ujumbe wa msalaba kwa wale wanaopotea ni upuzi, lakini kwetu sisi tunaookolewa ni nguvu ya Mungu.
Chunguza 1 Wakorintho 1:18
3
1 Wakorintho 1:25
Kwa maana upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya hekima ya wanadamu, nao udhaifu wa Mungu una nguvu kuliko nguvu ya wanadamu.
Chunguza 1 Wakorintho 1:25
4
1 Wakorintho 1:9
Mungu ambaye mmeitwa naye ili mwe na ushirika na Mwanawe Isa Al-Masihi, Bwana wetu ni mwaminifu.
Chunguza 1 Wakorintho 1:9
5
1 Wakorintho 1:10
Nawasihi ndugu zangu, katika Jina la Bwana wetu Isa Al-Masihi, kwamba mpatane nia zenu ninyi kwa ninyi, ili pasiwepo na matengano kati yenu, na kwamba mwe na umoja kikamilifu katika nia na katika kusudi.
Chunguza 1 Wakorintho 1:10
6
1 Wakorintho 1:20
Yuko wapi mwenye hekima? Yuko wapi msomi? Yuko wapi mwanafalsafa wa nyakati hizi? Je, Mungu hakufanya hekima ya ulimwengu huu kuwa upumbavu?
Chunguza 1 Wakorintho 1:20
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video