1
1 Wafalme 16:31
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Kama vile haikutosha kuishi kama Yeroboamu mwana wa Nebati, akamwoa Yezebeli binti Ethbaali, mfalme wa Wasidoni, naye akaanza kumtumikia Baali na kumwabudu.
Linganisha
Chunguza 1 Wafalme 16:31
2
1 Wafalme 16:30
Ahabu mwana wa Omri akafanya maovu zaidi machoni pa Mwenyezi Mungu kuliko yeyote aliyemtangulia.
Chunguza 1 Wafalme 16:30
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video