1
Mathayo 9:37-38
Neno: Maandiko Matakatifu 2024
Ndipo akawaambia wanafunzi wake, “Mavuno ni mengi lakini watendakazi ni wachache. Kwa hiyo mwombeni Bwana wa mavuno, ili atume watendakazi katika shamba lake la mavuno.”
Linganisha
Chunguza Mathayo 9:37-38
2
Mathayo 9:13
Nendeni mkajifunze maana ya maneno haya: ‘Nataka rehema, wala si dhabihu.’ Kwa maana sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi.”
Chunguza Mathayo 9:13
3
Mathayo 9:36
Alipoona umati wa watu, aliwahurumia kwa sababu walikuwa wanasumbuka bila msaada, kama kondoo wasiokuwa na mchungaji.
Chunguza Mathayo 9:36
4
Mathayo 9:12
Lakini Isa aliposikia hayo, akawaambia, “Watu wenye afya hawahitaji tabibu, lakini wale walio wagonjwa ndio wanaohitaji tabibu.
Chunguza Mathayo 9:12
5
Mathayo 9:35
Isa akazunguka katika miji yote na vijiji vyote, akifundisha katika masinagogi yao, akihubiri Habari Njema za ufalme, na akiponya kila ugonjwa na kila aina ya maradhi.
Chunguza Mathayo 9:35
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video