1
Zaburi 43:5
Neno: Bibilia Takatifu
Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka? Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu? Weka tumaini lako kwa Mungu, kwa sababu bado nitamsifu Mwokozi wangu na Mungu wangu.
Linganisha
Chunguza Zaburi 43:5
2
Zaburi 43:3
Tuma hima nuru yako na kweli yako na viniongoze; vinilete mpaka mlima wako mtakatifu, mpaka mahali unapoishi.
Chunguza Zaburi 43:3
3
Zaburi 43:1
Ee Mungu unihukumu, nitetee dhidi ya taifa lisilomcha Mungu, niokoe na watu wadanganyifu na waovu.
Chunguza Zaburi 43:1
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video