1
1 Kor 14:33
Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia
Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko, bali wa amani; vile vile kama ilivyo katika makanisa yote ya watakatifu.
Linganisha
Chunguza 1 Kor 14:33
2
1 Kor 14:1
Ufuateni upendo, na kutaka sana karama za rohoni, lakini zaidi kwamba mpate kuhutubu.
Chunguza 1 Kor 14:1
3
1 Kor 14:3
Bali yeye ahutubuye, asema na watu maneno ya kuwajenga, na kuwafariji, na kuwatia moyo.
Chunguza 1 Kor 14:3
4
1 Kor 14:4
Yeye anenaye kwa lugha hujijenga nafsi yake; bali ahutubuye hulijenga kanisa.
Chunguza 1 Kor 14:4
5
1 Kor 14:12
Vivyo hivyo na ninyi, kwa kuwa mnatamani sana kuwa watu wenye karama za roho, takeni kwamba mzidi sana kuwa nazo ili kulijenga kanisa.
Chunguza 1 Kor 14:12
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video