1
Waraka kwa Waebrania 5:14
Swahili Revised Union Version
Lakini chakula kigumu ni cha watu wazima, ambao akili zao, kwa kutumiwa, zimezoeshwa kupambanua mema na mabaya.
Linganisha
Chunguza Waraka kwa Waebrania 5:14
2
Waraka kwa Waebrania 5:12-13
Kwa maana, iwapasapo kuwa waalimu, (maana wakati mwingi umepita), mnahitaji kufundishwa na mtu mafundisho ya kwanza ya maneno ya Mungu; nanyi mmekuwa mnahitaji maziwa wala si chakula kigumu. Kwa maana kila mtu atumiaye maziwa hajui sana neno la haki, kwa kuwa ni mtoto mchanga.
Chunguza Waraka kwa Waebrania 5:12-13
3
Waraka kwa Waebrania 5:8-9
na, ingawa ni Mwana, alijifunza kutii kwa mateso hayo yaliyompata; naye alipokwisha kukamilishwa, akawa sababu ya wokovu wa milele kwa watu wote wanaomtii
Chunguza Waraka kwa Waebrania 5:8-9
4
Waraka kwa Waebrania 5:7
Yeye, siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu
Chunguza Waraka kwa Waebrania 5:7
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video