1
Mithali 14:12
Swahili Revised Union Version
Iko njia ionekanayo kuwa sawa machoni pa mtu, Lakini mwisho wake ni njia za mauti.
Linganisha
Chunguza Mithali 14:12
2
Mithali 14:30
Moyo ulio mzima ni uhai wa mwili; Bali husuda ni ubovu wa mifupa.
Chunguza Mithali 14:30
3
Mithali 14:29
Asiye mwepesi wa hasira ana fahamu nyingi; Bali mwenye roho ya hamaki hutukuza upumbavu.
Chunguza Mithali 14:29
4
Mithali 14:1
Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.
Chunguza Mithali 14:1
5
Mithali 14:26
Kumcha BWANA ni tumaini imara; Watoto wake watakuwa na kimbilio.
Chunguza Mithali 14:26
6
Mithali 14:27
Kumcha BWANA ni chemchemi ya uzima, Ili kuepukana na tanzi za mauti.
Chunguza Mithali 14:27
7
Mithali 14:16
Mwenye hekima huhadhari, na kujitenga na uovu; Bali mpumbavu hupuuza yote, na hajali.
Chunguza Mithali 14:16
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video