1
Zaburi 66:18
Swahili Revised Union Version
Kama ningaliwaza maovu moyoni mwangu, Bwana asingesikia.
Linganisha
Chunguza Zaburi 66:18
2
Zaburi 66:20
Na ahimidiwe Mungu asiyeyakataa maombi yangu, Wala kuniondolea fadhili zake.
Chunguza Zaburi 66:20
3
Zaburi 66:3
Mwambieni Mungu, Matendo yako yatisha kama nini! Kwa ajili ya wingi wa nguvu zako, Adui zako watakuja kunyenyekea mbele zako.
Chunguza Zaburi 66:3
4
Zaburi 66:1-2
Mpigie Mungu kelele za shangwe, nchi yote, Imbeni utukufu wa jina lake, Tukuzeni sifa zake.
Chunguza Zaburi 66:1-2
5
Zaburi 66:10
Kwa maana umetupima, Ee Mungu, Umetujaribu inavyojaribiwa fedha.
Chunguza Zaburi 66:10
6
Zaburi 66:16
Njoni, sikieni, ninyi nyote mnaomcha Mungu, Nami nitayatangaza aliyonitendea roho yangu.
Chunguza Zaburi 66:16
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video