1
2 Mose 14:14
Swahili Roehl Bible 1937
Bwana atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza tu.
Linganisha
Chunguza 2 Mose 14:14
2
2 Mose 14:13
Lakini Mose akawaambia hao watu: Msiogope! Jipeni mioyo! Ndipo, mtakapouona wokovu wa Bwana, atakaowapatia leo; kwani hawa Wamisri, mnaowaona leo, hamtawaona tena kale na kale.
Chunguza 2 Mose 14:13
3
2 Mose 14:16
Wewe nawe iinue fimbo yako na kuikunjulia bahari mkono wako, uitenge! Ndivyo, wana wa Isiraeli watakavyopita pakavu katikati ya bahari.
Chunguza 2 Mose 14:16
4
2 Mose 14:31
Waisiraeli walipoliona tendo hili kubwa, mkono wa Bwana ulilowafanyizia Wamisri, ndipo, watu hao walipomwogopa Bwana, wakamtegemea Bwana naye mtumishi wake Mose.
Chunguza 2 Mose 14:31
Nyumbani
Bibilia
Mipango
Video