1
Mhubiri 1:18
Biblia Habari Njema
Maana katika kuwa na hekima nyingi mna wasiwasi; na aongezaye maarifa zaidi huongeza huzuni zaidi.
Linganisha
Chunguza Mhubiri 1:18
2
Mhubiri 1:9
Yaliyokuwako ndio yatakayokuwako, yaliyotendeka ndio yatakayotendeka; duniani hakuna jambo jipya.
Chunguza Mhubiri 1:9
3
Mhubiri 1:8
Mambo yote husababisha uchovu, uchovu mkubwa usioelezeka. Jicho halichoki kuona, wala sikio kusikia.
Chunguza Mhubiri 1:8
4
Mhubiri 1:2-3
Bure kabisa, bure kabisa, nakuambia mimi Mhubiri! Kila kitu ni bure kabisa! Binadamu hufaidi nini kwa jasho lake lote hapa duniani?
Chunguza Mhubiri 1:2-3
5
Mhubiri 1:14
Nimeyaona yote yanayofanywa duniani; yote ni bure: Ni sawa na kufukuza upepo!
Chunguza Mhubiri 1:14
6
Mhubiri 1:4
Kizazi chapita na kingine chaja, lakini dunia yadumu daima.
Chunguza Mhubiri 1:4
7
Mhubiri 1:11
Hakuna mtu anayekumbuka ya zamani wala atakayekumbuka yatakayotukia baadaye.
Chunguza Mhubiri 1:11
8
Mhubiri 1:17
Nilipania kubainisha kati ya hekima, wazimu na upumbavu. Lakini niligundua kwamba kufanya hivyo ni sawa na kufukuza upepo.
Chunguza Mhubiri 1:17
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video