1
Ufunuo 5:9
Biblia Habari Njema
Basi, wakaimba wimbo huu mpya: “Wewe wastahili kukitwaa hicho kitabu na kuivunja mihuri yake. Kwa sababu wewe umechinjwa, na kwa damu yako umemnunulia Mungu wetu watu kutoka kila kabila, lugha, jamaa na taifa.
Linganisha
Chunguza Ufunuo 5:9
2
Ufunuo 5:12
wakasema kwa sauti kuu: “Mwanakondoo aliyechinjwa anastahili kupokea uwezo, utajiri, hekima, nguvu, utukufu na sifa.”
Chunguza Ufunuo 5:12
3
Ufunuo 5:10
Umewafanya ufalme wa makuhani wamtumikie Mungu wetu, nao watatawala duniani.”
Chunguza Ufunuo 5:10
4
Ufunuo 5:13
Nikasikia viumbe vyote mbinguni, duniani, chini ya dunia na baharini – viumbe vyote ulimwenguni – vikisema: “Kwake yeye aketiye katika kiti cha enzi, na kwa Mwanakondoo, iwe sifa na heshima na utukufu na enzi, milele na milele.”
Chunguza Ufunuo 5:13
5
Ufunuo 5:5
Kisha mmoja wa wale wazee akaniambia, “Usilie! Tazama! Simba wa kabila la Yuda, chipukizi wa Daudi, ameshinda. Yeye anaweza kuivunja mihuri yake saba na kukifungua hicho kitabu.”
Chunguza Ufunuo 5:5
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video