Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Petro 2:24-25

1 Petro 2:24-25 NEN

Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, ili tufe kwa mambo ya dhambi, bali tupate kuishi katika haki. Kwa kupigwa kwake, ninyi mmeponywa. Kwa maana mlikuwa mmepotea kama kondoo, lakini sasa mmerudi kwa Mchungaji na Mwangalizi wa roho zenu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Petro 2:24-25