Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Petro 2:24-25

1 Petro 2:24-25 BHN

Yeye mwenyewe alizibeba dhambi zetu katika mwili wake juu ya msalaba, tupate kufa kuhusu dhambi, na kuishi kwa ajili ya uadilifu. Kwa majeraha yake, nyinyi mmeponywa. Nyinyi mlikuwa kama kondoo waliokuwa wamepotea; lakini sasa mmemrudia Mchungaji na Mlinzi wa roho zenu.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na 1 Petro 2:24-25